Recent posts
Mungu nakushukuru sana na sina namna ya kusema.
Mungu nakushukuru sana maana wewe ni Mungu wa majira na wakati na wewe ni Mungu am baye huwatafuta sana watumishi wako ili uweze kuzikamilisha ahadiu zako wa watu wangu mpaka sasa nashukuru sana maana umenisaida sana na hatimaye nimechaguliwa kujiunga...
NAMSHUKURU SANA MUNGU
sina Lugha sahihi ya kusema lakini Bwana nasema Ahsante kwa wema wako na ukarimu wako ambao wewe umenikirimia mpaka sasa nafikia hatua hii. Sii kwa nguvu wala uwezo wangu ila kwa mapenzi yako tuu Bwana. I was in a tunnel And couldn't see the light And...
HEKIMA NA BUSARA
Hekima inasaidia watu kufanya mamuzi sahihi. Lakini pia Busara inasadia watu kufikiria jambo kwa undani zaidi hata kupata ukweli wake. (MATHAYO 13:53-54) Baada ya Yesu Kristo kuimaliza mifano yake katika MATHAYO 13:3-52, alitoka akaenda zake, na kuzidi...
Haya ni baadhi ya maneno ya watu walikerwa na ccm
Nakuambia, nimechoka matusi na udhalilishaji unaotolewa na walio madarakani dhidi ya mtu yeyote ambaye anakuwa tishio kwake. Nimechoka majina ya kughushi, na katuni za kughushi, na maneno ya kughushi bila hatua yoyote kuchukuliwa ndani ya mitandao ya...
FAHAMU MAMBO HAYA YATAKUSIADIA SANA
3.Mara zote uliza kwa waliofanikiwa kuwa mtu wa kuishi kwa mipago usikurupuke katika mambo yako.
Encouragement to you
keep on trying yes you can never judge yourself as inferior.
KATA MOJA UKAWA WANGOMBEA WAWILI..soma zaidi
✌✌✌✌✌✌✌✌ ------------------ Nimevumilia sana lakini acha sasa nisieme. Kidemokrasia kwa maana wanachi wanaruhusiwa kuwa wachanguaji wa maswala yao binafsi Ambao watu wachache ndiyo wenye mamlaka na maamuzi ya taifa au kundi kubwa la watu pasi na kujali...
KWANINI WATANZANIA WANAMPENDA LOWASSA?
NA WATANZANI Wakati lowasa anaijiuzulu kwa kashfa ya richmond wengi tuliamini amemalizika kisiasa .mvumo wa ufisadi aliobambikiwa umempandisha chati . Kwenye bunge . Alipokuwa akisimama bunge huzizima kwa furaha. Bunge la Makinda Alipokuwa anatafuta wadhamini...
VIJANA WAPEWE ELIMU YA KUPIGA KURA
vijana wengi ambao watapiga kura mwaka huu ni wale ambao hakuwahi kupiga kura tena. Hivyo kupunguza idadi ya kura zitakazoharibika elimu kwenye vyombo vya habari zitolewe kuwasaidia hawa. Hata hivyo watu wenye uzoefu katika hili waelimishe wenzao mitaani...